VIJANA ARUSHA WANUFAIKA NA ELIMU YA MICHEZO KUTOKA KENYA.

Kituo cha kukuza mchezo wa mpira wa Miguu kutoka nchini Kenya cha Trans Nzoia Youth Sports Association ( TYSA) kimetua Mkoania Arusha na kusaidia baadhi ya watoto ili kuwahamasisha katika mchezo wa Huo. Ofisa wa kukuza michezo katika kituo hicho Francis Ojilo alisema kuwa wameamua kusaidia watoto ili kuhakikisha vijana wanakua na elimu ya michezo pamoja na nidhamu hivyo jamii …

Leo ni Leo, Je Manchester United Wataweza Kulipiza Kisasi?

Manchester City wananafasi ya kuonyesha kuwa wanastahili kuutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Uingereza na kuziba nafasi iliyopo kati yao na Chelsea. Manchester United walichapwa 4-1 ndani ya Etihad stadium hapo mwezi wa tisa mwaka jana wakati ambapo David Moyes ndio alikuwa anaanza anza kuifundisha Man United, na presha imekuwa ikiongezeka kila siku kwa miezi sita iliyopita. Mpaka sasa zimebaki …