Janga Lingine Polisi, Askari Wanyang’anywa Silaha 2

JESHI la Polisi limeendelea kukumbwa na majanga ya askari wake kuvamiwa na kunyang’anywa silaha nyakati za usiku wakiwa kazini. Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya tukio lililotokea mkoa wa Pwani kuvamiwa Kituo cha Polisi na majambazi kuua askari na kupora silaha, Safari hii imetokea mkoani Tanga juzi ambapo askari wawili waliokuwa doria kwa kutumia pikipiki waliporwa silaha mbili aina …

Ujerumani Kusaidia Silaha Iraq, Marekani Waombwa Silaha

UJERUMANI inatarajia kupeleka silaha kwenye Jeshi la Wakurd wa Iraq zikiwemo bunduki na silaha nzito zinazoweza kutumika kushambulia kwenye vita kukabiliana na mashambulizi ya vifaru vya kivita. Jeshi hilo limekuwa likipambana na wapiganaji wa Kiislamu kaskazini mwa Iraq. Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani, Ursula Von der Leyen alisema silaha hizo zinauwezo wa kutumiwa na wanajeshi wapatao elfu nne ifikapo mwishoni …