Maadhimisho Siku ya Uhuru wa Habari Duniani Kufanyika Morogoro

Mwenyekiti wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na maadhimisho ya siku ya uhuru wa habari duniani (WPFD) yatakayofanyika tarehe 2 mwezi Mei mwaka huu mkoani Morogoro. Na Modewjiblog team Wanahabari na wadau wa habari wanatarajiwa kukutana Mkoani Morogoro kwa siku mbili …