Wazazi Watakiwa Kuwa Makini na Marafiki wa Watoto…!

    Kutokana na baadhi ya watoto kuwa na tabia ambazo hazipendezi watu bila ya kufahamu chanzo chake, imeelezwa kuwa ni vyema wazazi wakajenga mazoea ya kuwafahamu watu ambao wanakuwa karibu na watoto wao ili kuchukua hatua mapema. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shule ya Watoto ya O’Jays Kiddies Zone, Usia Nkhoma Ledama wakati wa mahali ya nne ya shule …

Japani Yatoa Milioni 160 Ujenzi Shule ya Awali

*Waziri Mkuu aomba Watanzania wamuunge mkono SERIKALI ya Japan imetoa msaada wa dola za Marekani 90,286 sawa na sh. milioni 160/- kusaidia ujenzi wa shule ya awali kwenye shule ya msingi Kakuni, iliyopo kijiji cha Kibaoni, wilayani Mlele, mkoa wa Katavi.   Japan imetoa msaada huo ikiwa ni sehemu ya mchango wake katika shule mpya ya msingi Kakuni ambayo Waziri …