Serikali Yaandaa Sheria Kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu – Mwanasheria Mkuu

SERIKALI imesema inaandaa mswada wa sheria ambayo itawalinda watoaji wa taarifa za masuala ya uhalifu ikiwa ni jitihada za kuimarisha mapambano dhidi ya vitendo mbalimbali vya uhalifu nchini Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Bw. George Masaju alipokuwa akitoa vyeti kwa baadhi ya waandishi wa habari waliokuwa katika mpango wa …