Matukio Katika Picha Sherehe za Mei Mosi Mkoani Kilimanjaro

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme(TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro wakipita na gari lao mbele ya mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu chaUshirika  mjini Moshi.  Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakipita katika maonesho ya Mei Mosi Mkoani Kilimanjaro. Chuo cha wauguzi Kibosho pia walipita mbele ya mgeni rasmi kuonesha nini wanafanya katika sherehe hizo za …

Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Pichani juu, Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni zikiwa zimepambwa kwa bendera ya Tanzania, sambamba na maeneo mengine ya Jiji la Dar. Wakati mabilioni yakitumika kuandaa sherehe za Muungano, hoja na kejeli ziliendelea kutikisa (na bila shaka zitaendelea pindi wajumbe watakaporudi tena Dodoma Agosti mwaka huu) kuhusu muundo stahiki wa muungano. Serikali moja, mbili au tatu!? Picha Zote na …