Serikali Yasitisha Vibali vya Matangazo Tiba Asili

SERIKALI imesitisha vibali vya kurusha matangazo ya tiba za asili na mbadala kwenye vyombo vyote vya habari baada ya kubaini kuwa yanapotosha jamii. Taarifa iliyotolewa na Baraza la Tiba za Asili na Tiba Mbadala kwa vyombo vya habari jana, inaeleza kuwa katika siku za karibuni kumekuwapo na matangazo mbalimbali ya tiba hizo ambayo baadhi yake hayaisaidii jamii. Kutokana na taarifa …

Serikali Haijawatimua Kazini Maprofesa Kideghesho na Songorwa

SERIKALI inapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa potofu zinazoendelea kuchapishwa na kutangazwa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kuhusu Watumishi Waandamizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Alexander Songorwa ambaye ni Mkurugenzi, Idara ya Wanyamapori na Prof. Jafari Kideghesho, Mkurugenzi Msaidizi, Idara ya Matumizi Endelevu ya Wanyamapori. Kumekuwa na taarifa kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba Wakurugenzi hao walikuwa …

Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Pichani juu, Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni zikiwa zimepambwa kwa bendera ya Tanzania, sambamba na maeneo mengine ya Jiji la Dar. Wakati mabilioni yakitumika kuandaa sherehe za Muungano, hoja na kejeli ziliendelea kutikisa (na bila shaka zitaendelea pindi wajumbe watakaporudi tena Dodoma Agosti mwaka huu) kuhusu muundo stahiki wa muungano. Serikali moja, mbili au tatu!? Picha Zote na …