Kabila la Wahdazabe Kulindwa na Serikali…!

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilmali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.   “Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na Wasandawe kwani ndiyo rasilami pekee inayowawezesha wapate chakula cha kutosha,” alisema.   Ametoa kauli hiyo Novemba …

Serikali Isikwepe Kulipa Madeni MSD Kuokoa Maisha ya Watanzania

SIKIKA imesikitishwa na tamko lililotolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, kuhusiana na kushindwa kwa vituo vya huduma za afya kununua dawa MSD kutokana na kuongezeka kwa deni. Ni wazi kuwa waziri hajalipa tatizo hili uzito unaotakiwa na kutambua kuwa baadhi ya wagonjwa wanaweza kupoteza maisha kutokana na tatizo hili. Sikika inatambua kuwa, mapato yatokanayo na uchangiaji katika …

Sefue: Serikali Kufanyiakazi Miradi ya BRN Sekta ya Afya

  Na Mwandishi Wetu   KATIBU Mkuu Kiongozi Ikulu, Balozi Ombeni Sefue ameeleza kufurahishwa na miradi ya sekta ya afya inayopendekezwa kuingia katika Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN). Balozi Sefue aliyasema hayo mara baada ya kutembelea jijini Dar es Salaam juzi, maabara inayokutanisha wataalamu mbalimbali kutoka SErikali na sekta binafsi wanaochambua miradi michache ya afya itakayoingizwa katika mfumo wa …

Serikali Yasajili Makampuni 51 Wakala wa Ajira

Frank Mvungi, Maelezo   SERIKALI imetoa usajili kwa makampuni 51 ya wakala Binafsi wa Huduma za ajira nchini kati ya 87 yaliyowasilisha maombi yake kwa Kamishna wa kazi. Taarifa hiyo imetolewa Jijini Dar es Salaam na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwan Wema wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Alisema makampuni yaliyosalia 36 hayakupata usajili kutokana na sababu …

Serikali Yaanza Ujenzi Nyumba za Wanajeshi

Frank Mvungi, Maelezo SERIKALI imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba 10,000 kwa ajili ya makazi ya wanajeshi kote nchini. Hayo yamesemwa na Msemaji wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Meja Josephat Musira wakati wa ziara ya waandishi wa habari walipotembelea eneo la Gongo la mboto jijini Dar es Salaam ambapo sehemu ya mradi huo inatekelezwa. “Lengo la …