Rais Kikwete Amteua Masaju Kumrithi Werema

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Masaju ulianza Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam. Kabla ya uteuzi wake, Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya …

Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Na Joachim Mushi TUHUMA za uchotaji wa fedha Dola za Marekani milioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni imeendelea kuitesa Serikali huku kukiwa na kila dalili ya kuibuka mazitoka katika tuhumwa hizo. Leo mjini Dodoma wabunge mbalimbali wamechachamaa na kuungana kwa pamoja wakitaka ripoti ya uchunguzi huo iwasilishwe bungeni ili wabunge waijadili na kuitolea uamuzi. Hali ya kuibuka …

Serikali Ichukue Hatua Kupunguza Uhaba wa Dawa

TUNASIKITISHWA na namna ambavyo serikali imekuwa ikishughulikia suala laupungufu wa dawa na vifaa tiba nchini. Siku za karibuni, kumekuwepo na taarifa za ukosefu wa dawa na vifaa tiba katika sehemu mbalimbali nchinilakini serikali bado haijachukua hatua madhubuti, jambo ambalo linaweza kuchangia wagonjwa kuteseka zaidi na hata kusababisha vifo. Sikika ilitegemea serikali ingeangalia janga hili kwa makini zaidi na kulipa mara …

Serikali Kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Hadi Sifuri

Na Genofeva Matemu – Maelezo SERIKALI imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi yanapungua hadi kufikia sifuri ifikapo mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (TACAIDS), Dk. Fatma Mrisho wakati wa mkutano wa Serikali na wadau wa ukimwi kupitia utekelezaji …