NCCR-MAGEUZI Waendelea ‘Kulia’ na Sera ya Elimu

 Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Zanzibar, Musa Kombo Musa (kulia), akimkaribisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia (katikati), ili azungumze na wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitoa tamko hilo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosene Nyambabe.    Hapa mkutano na waandishi wa habari ukiendelea.   Wajumbe wa Halmshauri Kuu (NEC) ya chama hicho …