Mabibo Bia na Jeshi la Polisi Zatoa Semina Morogoro…!

   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi Mwandamizi  (SACP), Leonard Paul (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, Fr James Rugemalira (kushoto) na Mshauri wa Kampuni ya Mabibo, Kamala Stephen baada ya kufungua semina hiyo katika Hoteli ya Top Life mjini Morogoro leo asubuhi.(Imeandaliwa na mtandao wa  www.habari za jamii.com-simu namba 0712727062)  Mshauri …