Jokate na Mo Dewji Kujenga Uwanja Sekondari ya Jangwani

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani wanataraji kunufaika kwa kupata uwanja wa michezo ambao unajegwa kwa ushirikiano wa Mwanamitindo Jokate Mwegelo na Taasisi ya Mo Dewji. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, mwanadada Jokate amesema ujenzi wa kiwanja hicho cha michezo ni sehemu ya mipango aliyokuwa nayo baada ya kuanzisha mwaka jana bonanza la Kidoti ambalo lilikuwa …

TPB Yawapa Somo la Akiba Wanafunzi Sekondari ya Jangwani

  WAZAZI na walenzi wametakiwa kuwa na mazoea ya kuwawekea watoto wao akiba ili iweze kuwasaidia katika mambo mbalimbali ikiwemo elimu.   Mwito huo umetolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Nchini (TPB) Sabasaba Moshingi, wakati wa semina iliyofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Jangwani.   Alisema, katika kuadhimisha miaka 90 ya siku …