TTCL Mkoani Mbeya Waisaidia Sekondari ya Luswisi

 Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya, James Mlaguzi akisoma taarifa ya msaada uliotolewa na kampuni hiyo katika shule ya Sekondari Luswisi.  Mbunge wa Ileje aliyemaliza muda wake, Aliko Kibona akitoa shukrani kwa niaba ya  wananchi wa Kata ya Luswisi kwa kampuni ya TTCL kutokana na msaada waliopokea.  Mbunge na Meneja wakipongezana baada ya kukabidhiana Saruji na Mbao.  Wanafunzi wa Shule …