Kampuni ya Vodacom Kupambana na Mimba za Sekondari

Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Shimbwe iliyopo Uru Moshi vijijini,Ofisa Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu za Mkononi,Georgia Mutagahywa (mwenye suti nyeusi) akizungumza jambo mara baada ya kutembelea darasa la Kompyuta shuleni hapo juzi. Mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha nne katika shule …

RC Katavi Aagiza Waliokimbia Sekondari 2014 Warejeshwe

Na Kibada Ernest Kibada, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi Dk. Ibrahimu Msengi ameagiza wanafunzi wote waliohitimu Elimu ya Msingi mwaka 2014 na kuchaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari waripoti katika shule walizopangiwa kuhudhuria masomo yao. Alitoa kauli hiyo katika hotuba yake iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Kanali Mstaafu Issa Seleman Njiku wakati akifungua kikao …

Japani Kuipanua Sekondari ya Wama kwa Milioni 900

Na Anna Nkinda – Maelezo TAASISI ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na Serikali ya Japani wametiliana saini mkataba wa mradi wa upanuzi wa shule ya Sekondari ya WAMA-Nakayama iliyopo Rufiji mkoani Pwani utakaogharimu shilingi milioni mia tisa. Utiaji saini wa mkataba huo umefanyika leo katika ofisi za WAMA zilizopo jijini Dar es Salaam kati ya Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mama …

Wazazi Southern Highlands Mafinga Wachangia Sekondari

Mkurugenzi  mtendaji  wa  shule   ya Southern Highlands Mafinga  Bi Mary Mungai kushoto  akiwa na  wageni mbalimbali Wanafunzi  wa shule ya  Southern Highlands Mafinda wakipiga  vyombo  vya muziki  walipokuwa  wakiimba  wimbo wa Taifa siku ya mahafali ya  chekechea na siku ya  wazazi shuleni hapo Mwalimu Bi  Sarah akijitambulisha mbele ya  wazazi Wageni  mbalimbali wakiwa katika  hafla ya  siku ya  wazazi WAZAZI wa …

Dk. Kawambwa Kuchangisha Fedha Ujenzi Sekondari Enaboishu

Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM. WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini …