Mama Salma Awataka Wasichana Kutoogopa Sayansi

Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi WANAFUNZI wa kike nchini wameaswa kutoogopa masomo ya sayansi kwani masomo hayo siyo magumu ukilinganisha na mengine, bali wanachotakiwa kufanya ni kuzishika na kuzijua kanuni za somo husika. Rai hiyo imetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea …

Sekta ya Sayansi na Teknolojia Yaonesha Mafanikio

 Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk. Hassan Mshinda (katikati), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kwenye  semina ya siku mbili iliyohusu matumizi ya Sayansi na Teknolojia katika kuinua uchumi kupitia viwanda na uhifadhi wa mazingira na Sekta ya Umma kuimarisha ubunifu kwenye Sayansi hai.  Mkurugenzi wa Kampuni ya Banana Envestment ya …