Washindi 100 Kuzawadiwa SamSung Gear S, Kifaa cha Galaxy Note 4

KAMPUNI ya vifaa vya kieletroniki ya Samsung imezindua kampeni ya kuweka oda kwabidhaa yake mpya ya Galaxy Note 4 nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya kushamirisha uzinduzi mkubwa utakofuatia wa bidhaa inayosubiriwa kwa shauku ya Samsung Galaxy Note 4. Kampeni hiyo itakayoendeshwa kuanzia tarehe 31 Oktoba hadi14 Novemba 2014, inadhamiria kuwapa wateja wake wakudumu nafasi ya kujipatia bidhaa hiyo ya …