UN Tanzania Wapewa Tuzo Maonyesho ya 39 ya Sabasaba

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimkadhi Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) cheti na tuzo katika kipengele cha Uelimishaji bora kupitia Uandishi wa machapisho na mpangilio bora wa maonesho, baada ya Umoja wa Mataifa kuibuka mshindi wa kwanza katika Maonesho ya 39 …

NIDA Waenda Maonesho ya Sabasaba Kujibu Maswali ya Wananchi

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inashiriki Maonesho ya 39 ya Biashara Kimataifa ikiwa na lengo la kuwasaidia wananchi mbalimbali kujua hatua zilizofikia vitambulisho vyao kwa ambao hawajapata na taarifa nyingine za taasisi hiyo muhimu. Akizungumza na mtandao huu Ofisa Habari Mkuu Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Rose Mdami alisema moja ya shughuli wanazozifanya …

TTCL Yaendelea Kukuza Matumizi ya Mawasiliano na Tehama

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) sasa inayawezesha wateja wake ikiwa ni pamoja na kampuni, taasisi na ofisi za Serikali kupata mawasiliano ya intaneti sehemu ambazo ziko mbali na njia ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwa njia ya Satelaiti. Akizungumza katika Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa, katika viwanja vya Mwalimu Nyerere, Sabasaba, Ofisa Mtatuzi wa …

Kampuni ya LG Yatoa Punguzo kwa Bidhaa Zake Sabasaba

Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer akipokea taarifa ya shughuli mbalimbali zinazoendelea kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama “Sabasaba” kwa mmoja wa maafisa wa kampuni ya bidhaa za LG Tanzania ambapo kampuni ya Mohammed Enterprises Limited Tanzania (MeTL) ndio msambazaji rasmi wa bidhaa hiyo nchini kabla ya hafla fupi ya uzinduzi …

NSSF Yatoa Huduma za Afya Bure Maonesho ya Sabasaba

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatoa huduma za afya bure kwa wateja mbalimbali watakaotembelea katika Banda la shirika hilo ndani ya Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba yanayofanyika viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi leo Dar es Salaam ndani ya …