Joto la Kisiasa Laanza Kupanda Rombo

JOTO la siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu mwishoni mwa mwaka huu limeanza kupanda wilayani Rombo baada ya mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Fraterni Michael Lasway kutangaza nia ya kugombea Jimbo la Rombo kupitia tiketi ya chama hicho. Lasway ambaye kwa sasa ni Ofisa Manunuzi kutoka Hospitali ya Aga Khani ya jijini Dar es Salaam ametangaza uamuzi huo wakati alipozungumza na …

Kijiji cha Ngareni Rombo Chaomba Umeme

WAKAZI wa Kijiji cha Ngareni Kata ya Ngoyoni Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wameliomba Shirika la Kusambaza Umeme (TANESCO) kupelekewa huduma ya umeme jambo ambalo linawasababishia kuzorota kwa maendeleo katika kijiji hicho. Diwani wa Kata hiyo Protas Lyakurwa Akizungumza katika kikao cha Baraza la Madiwani wakati alipokua akichangia taarifa ya Shirika la kusambaza umeme iliyowasilishwa na Meneja wa TANESCO, Wilaya …