Tume ya Uchaguzi Yatoa Ratiba ya Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania (NEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 2015. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Jaji wa Rufaa Damian Lubuva uteuzi wa nafasi za wagombea unatarajiwa kuanza Agosti 21, 2015 vyama vyote vya siasa. Taarifa hiyo imesema uteuzi wa nafasi hizo …