Insignia Limited Yapata Cheti cha Mazingira cha ISO 14000

KAMPUNI inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira. Mwaka …

Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu

Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu KAMPUNI ya Sadolin leo imemkabidhi gari aina ya TATA Pic-UP mshindi wa droo ya mwisho ya bahati nasibu iliyokuwa ikiendeshwa na kampuni hiyo kwa wateja wake wa bidhaa za rangi za aina mbalimbali zinazozalishwa na kampuni hiyo. Aliyejishindia gari hilo ni Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi …