Rais Paul Kagame Amfagilia Kikwete Mkutanoni

RAIS wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa hatua ya Mwenyekiti wa Nchi Wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuhudhuria Mkutano wa Tisa wa Nchi Zilizoungana Kutekeleza Miradi ya Miundombinu Ukanda wa Kaskazini za Northern Corridor Projects ni hatua muhimu katika kufungua utekelezaji wa miradi ya miundomninu katika kanda nyingine za EAC. Aidha, Rais …

Wananchi Bukina Faso Waandamana Kumpinga Rais

KUMETOKEA vurugu kubwa baina ya maelfu ya waandamanaji na maofisa wa polisi katika Mji Mkuu wa Burkina Faso, Ougadougou wakati maelfu ya raia wa nchi hiyo walipokuwa wakihudhuria mkutano kupinga marekebisho ya Katiba itakayomruhusu rais wa nchi hiyo, Blaise Compaore kuongoza nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Maofisa wa usalama walitumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya wanadamanaji hao …