Vurugu za Ubaguzi Afrika Kusini; Nigeria Yaondoa Mabalozi Wake

TAIFA la Nigeria limewaita mabalozi wake waishio nchini Afrika Kusini kurejee nyumbani kufuatia mashambulizi ya kibaguzi dhidi ya wenyeji yanayofanyika Afrika Kusini. Mpaka sasa watu saba wameshapoteza uhai kufuatia mashambulizi hayo, yaliyoanza wiki tatu zilizo pita. Mali zimeharibiwa vibaya na mashambulizi hayo yamezusha hofu kubwa miongoni mwa raia wa kigeni. Balozi wa Nigeria mjini Pretoria, mji wa kibiashara na kwingineko …