Wanafunzi na Mwalimu Wao Wafa kwa Radi Kigoma

Mwalimu Merina Sekilo aliyenusurika kupigwa na radi wakati akifundisha darasa la kwanza,ambapo wanafunzi 6 walifariki Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Kigoma, Maweni akiongeza na Waandishi wa habari juu ya tukio la radi lililotokea hivi punde na kuuwa watu 8 Na Editha Karlo Karlo wa blog ya jamii,Kigoma WATU wanane wakiwemo wanafunzi sita na mwalimu wa shule ya msingi …