Sakata la Escrow: Prof. Tibaijuka Asema Hawezi Kujiuzulu Kwenye Mafanikio…!

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema kamwe awezi kujiuzulu wadhifa wake kwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyomkumba kwani tukio alilolifanya ni la mafanikio makubwa kwa upande wa shule zake. Alisema kitendo cha yeye kufanikiwa kuomba na kupokea shilingi zaidi ya bilioni 1.6 kama mchango kwake ni mafanikio makubwa kwa kufanikisha kupata mchango …

Bodi ya Shule Iliyopata ‘Mgao wa Escrow’ Yamtetea Prof. Tibaijuka

BODI ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust (JOHA TRUST au BARBRO) wamiliki wa shule za Sekondari Bingwa ya Barbro iliyopo jijini Dar es Salaam na nyingine ya Kajumulo Girls’ High School iliyopo Manispaa ya Bukoba zilizoingia katika tuhuma za kudaiwa kupata mgao wa fedha za Escrow zimetoa taarifa kumtetea Profesa Anna Tibaijuka ambaye ni mwanzilishi wa …

Prof. Tibaijuka Jiuzulu Kulinda Heshima Yako na Chama

PROF. ANNA TIBAIJUKA BORA UJIUZULU KULINDA HESHIMA YAKO NA CHAMA MUHESHIMIWA Bi. Anna Tibaijuka (Mb) Waziri wa Ardhi ni moja wa viongozi wachache sana wenye ujasiri na kiongozi muwazi katika sakata zima la akaunti ya Tageta Escrow, kwani kiongozi huyu amekiri wazi kuwa amepokea fedha shilingi billion 1.6 kutoka kwa mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering Bw. James Rugimalira. Si jambo …