Prof Mwandosya, Nagu Wataka Katiba Inayotatua Kero za Watanzania

  Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma   MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Prof. Mark Mwandosya ameeleza kuwa mpaka ifikapo mwaka 2055 Tanzania itakuwa imeachana na umaskini katika nchi ya uchumi wa kwanza endapo kutakuwa na dhamira ya dhati hususani kuwa kuandika Katiba yenye kuleta nafuu kwa watanzania kwani kila kitu kwa Waafrika kinawezekana pasipo kuwa na Wazungu.   Prof. Mwandosya …