Idara Yamtetea Pistorius, Yataka Afungwe Nje

IDARA ya Kurekebisha Tabia nchini Afrika Kusini imeomba mwanariadha maarufu wa nchi hiyo Oscar Pistorius anayetuhumiwa kwa mashtaka ya kumuua mpenzi, Reeva Steenkamp apewe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu juu ya kosa linalomkabili la kumpiga risasi na kumuua mpenzi wake huyo. Ofisa toka idara hiyo, Joel Maringa ametoa ombi hilo kwenye Mahakama mjini Pretoria kuwa hawamuadhibu tu Pistoruiis bali …