THPS Yakabidhi Msaada wa Vifaa Vituo vya Afya Unguja na Pemba

Mkurugenzi  Mtendaji wa THPS, Dr. Redempta Mbatia, akizungumza kabla ya kukabidhi seti za computer kwa vituo vya afya vinane vya Unguja na Pemba kwa ajili ya kutunzia kumbukumbu katika vituo vyao. Naibu Katibu Mku Wazara ya Afya Zanzibar Halima Maulid Salum akitowa shukrani kwa msaada huo wa Seti za Kumputer uliotolewa na THPS kwa ajili ya Vituo vya Afya Vinane vya …