Oscar Pistorius Ahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5

MWANARIADHA nyota wa nchi ya Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa kwenda jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp bila kukusudia. Hukumu hiyo imetolewa baada ya mwanariadha huyo mlemavu kuthibitika kuwa alifanya mauaji hayo bila ya kukusudia. Jaji Thokozile Masipa akitoa hukumu hiyo alianza kwa kueleza kuwa itakuwa ni vigumu na changamoto kwake kutoa hukumu …

Oscar Pistorius Found Not Guilty of Murder

OSCAR Pistorius has been found not guilty of murdering Reeva Steenkamp. The stunning development was revealed as Judge Thokozile Masipa read her summation of the evidence Thursday in front of a packed courthouse in Pretoria, South Africa, and a worldwide television audience. Masipa has yet to hand down her final decision, which will come Friday. She did reveal in the …

Hukumu ya Oscar Pistorius Mambo Yapamba Moto…!

JAJI anayetoa uamuzi katika kesi ya mauaji inayomkabili Oscar Pistorius, amesema upande wa mashitaka umekosa kuthibitishia kikamilifu shitaka kuu la kwanza dhidi ya Pistorius kuwa alikusudia kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Hata hivyo jaji huyo Thokozile Masipa amepinga ushahidi wa upande wa utetezi kwamba mwanariadha huyo hakunuia kutenda uhalifu alipomuua mpenzi wake Reeva. Pistorius alikiri kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp …

Oscar Pistorius Kuuza Nyumba Kukabiliana na Kesi Yake

MWANARIADHA mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorious atauza nyumba yake ili aweze kumudu gharama za kesi ya mauaji inayomkabili. Taarifa hii ni kwa mujibu wa wakili wake Brian Webber ambaye amenukuliwa na Shirika moja la habari SAPA akisema kesi hiyo itaendelea kwa zaidi ya wiki tatu zilizotarajiwa kwa kesi hiyo kukamilika. Oscar hajaweza kurejea katika nyumba yake hata baada ya …