Wamachinga Wacharuka, Wavamia Ofisi za Jiji Dar

Na Mwandishi Wetu, WAFANYABIASHARA ndogondogo maarufu kama wa machinga leo jijini Dar es Salaam waliandamana hadi katika Ofisi za Jiji la Dar es Salaam zilizopo eneo la Kamata (mataa) na kuanza kufanya fujo huku wakitupa mawe na kuchoma matairi katika barabara hiyo. Wamachinga hao vijana ambao walikuwa wakifanya fujo hizo huku wakiimba, “..hatukubali, hatukubali, hatukubali…” waliandamana kwa kukimbia toka maeneo …