Msanii Ebrahim Makunja Ahojiwa na Offener TV

MWANAMUZIKI Ebrahim Makunja a.k.a Kamanda Ras Makunja kiongozi mwanzilishi wa bendi maarufu Ngoma Africa almaharufu FFU-Ughaibuni ya Ujerumani, juzi alifanya mahojiano na kituo cha TV cha Offener Channel ya Ujerumani. Mwongozaji wa kipindi katika mahojiano hayo, Fischer alimkutanisha msanii huyo pia na wataalam na wadau wa muziki wa kimataifa. Akikaribishwa katika kipindi hicho mwanamuziki Ras Makunja ametajwa kuwa jamii ya …