CCM Yapata Pigo Kubwa Njombe…!

CHAMA  cha  Mapinduzi (CCM)  Wilaya ya  Ludewa  mkoani  Njombe  kimepata  pigo  kubwa kufuatia  kifo  cha  aliyekuwa  Mjumbe  wa  Halmashauri  Kuu ya Wilaya  hiyo (NEC)  Bi. Elizabeth Haule. Mbali ya  kuwa MNEC  wa  wilaya  hiyo  Haule  pia  alikuwa ni mwenyekiti  wa UVCCM wilaya ya  Ludewa  kabla ya  kujiuzulu kwake mwezi  February mwaka jana baada ya  kuchaguliwa nafasi hiyo ya  NEC na  …

Siku ya UKIMWI Duniani Kufanyika Njombe

Na Beatrice Lyimo na Aron Msigwa – Maelezo MAADHIMISHO ya siku ya UKIMWI Duniani kwa mwaka 2014 kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Njombe kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe moja Desemba. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Taifa ya kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dk. Fatma Mrisho wakati akiongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano uliopo makao makuu …

Hatimaye mwalimu kuchekelea

    Na Mwandishi wa Shirika la Daraja HATIMAYE Shule ya Msingi Kibeto iliyopo Kijiji cha Madindo, Ludewa, Mkoa wa Njombe inatarajiwa kupata walimu baada ya kukaa tangu 2006 ikiwa na ikiwa na mwalimu mmoja. Shule hiyo yenye jumla ya wanafunzi 77, ina vyumba vitatu vya madarasa, ambapo wanafunzi wanasoma kwa kupokezana, huku pia ikikabiliwa na upungufu mkubwa wa madawati …