Rais Kikwete Awatunuku Nishani Watumishi wa Umma…!

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Mhe. Parseko Vincent Kone baada ya kumtunuku nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku Balozi Liberata Mulamula  nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Balozi Liberata Mulamula baada ya kumtunuku nishani ya Jamhuri ya Muungano Daraja la Kwanza …