Wadudu wa Nyanya ‘Watangaza’ Hali ya Hatari Nigeria

JIMBO moja nchini Nigeria limetangaza hali ya hatari kutokana na uhaba mkubwa wa nyanya. Jimbo hilo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria, limechukua hatua hiyo baada ya wadudu waharibifu wajulikanao kama Tomato Leaf Miner au Tuta Absoluta kuharibu nyanya mashambani. Kamishna wa Kilimo katika jimbo hilo Daniel Manzo Maigar amesema wadudu hao wameharibu 80% ya nyanya katika jimbo hilo. Amesema wakulima …

Boko Haramu Wasababisha Uchaguzi Kuahirishwa

MKUU wa Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria, Attahiru Jega, amesema upigaji kura hauwezi kufanyika nchini humo Jumamosi ijayo kwa sababu wanajeshi wanaotakiwa kulinda vituo vya kupigia kura wanatumika kupambana na kundi la Boko Haram. “Hatari ya kutumia vijana wetu katika jeshi na kuwataka watu watumie haki yao ya kidemokrasi, katika hali ambapo hawawezi kuhakikishiwa usalama wao, ndio jukumu letu kubwa. …

Polisi Wawapiga Mabomu ya Machozi Wabunge Bungeni

POLISI wa Mji Mkuu wa Lagos, nchini Nigeria, wamefyatua gesi ya kutoa machozi ndani ya Jengo la Bunge, na kulazimisha kuahirishwa kwa mjadala muhimu wa bunge hilo kuhusu kurefushwa kwa kipindi cha hali ya tahadhari Kaskazini mwa nchi hiyo. Taarifa za mwaandishi wa habari hizi inaeleza kuwa maofisa wa Polisi walikuwa wakijaribu kumzuia Spika wa Bunge la Wawakilishi, Aminu Tambuwal …

Boko Haram Wateka Vijiji Wauwa, Nigeria Hakuna Ebola…!

WATU wanaohisiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wamewapiga risasi na kuwachinja watu katika vijiji vitatu Kaskazini Mashariki mwa Nigeria licha ya serikali kudai mwishoni mwa wiki kuwa ilifikia makubaliano na kundi hilo. Wapiganaji wa Boko Haram, walivamia vijiji viwili Jumamosi na kupandisha bendera yao kwa mara ya tatu. Hii ni kwa mujibu wa wanakijiji wa eneo hilo. Serikali ilisema kuwa …

Vifo vya bomu Nigeria vyafikia 118

Maafisa nchini Nigeria wamesema kuwa wamepata maiti 118 kufuatia shambulio la bomu katika mji wa Jos. Mabomu mawili yalilipuka mojawepo ikiwa imefichwa ndani ya gari na kulipuka katika soko moja kubwa. Dakika 20 baadaye mlipuko wa pili ulitokea karibu na hospitali. Inahofiwa kuwa kuna maiti zaidi zilizonaswa kwenye vifusi vya majengo yaliyo poromoka kutokana na shambulio hilo. Kufikia sasa hakuna …