Mwanahabari Alfred Ngotezi afariki

TASNIA ya habari Tanzania imepata pigo kubwa baada ya jana kundokewa na mwandishi wa habari mkongwe, Alfred Ngotezi. Taarifa zilizopatikana jana usiku zinaeleza kuwa Ngotezi, alidondoka muda mfupi baada ya kutoka maliwato, akiwa katika moja ya hoteli za Mji wa Arusha na alifariki dunia muda mfupi baadaye. Inaelezwa kwamba alifariki saa 5:11 usiku “Ndugu yetu baada ya kurejea kutoka maliwatoni, …