Mitandao Inavyochochea ‘Rushwa’ ya Ngono

Na Mwandishi Wetu WANANCHI kwa ujumla wanatakiwa kuwa makini na matumizi ya mitandao mbalimbali kwa kutumia simu zao za mkononi, kompyuta na vifaa vingine. Hii ni kutokana na baadhi ya watu kutumia mitandao vibaya kwa kuwatishia watu na hata kwa wizi kwa lengo la kujipatia kipato toka kwa marafiki wakaribu au wapenzi wao wa zamani kwa kuitaji kiasi kikubwa cha …

Mradi wa Kusaidia Vijana Kupunguza Ngono…!

Na Mwandishi Wetu SAMPULI tathmini ya matokeo ya mradi wa PREPARE uliokuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa vijana kupunguza ngono, imebainisha haja ya elimu ya afya ya uzazi kukabili hali ya sasa ya tabia hatarishi zinazowakabili vijana wadogo. Matokeo ya awali ya mradi yalionesha kuwa asilimia 10 ya vijana wenye umri wa miaka 12 mpaka 14 ambao ni darasa …