Familia Newala Zachangia Kuwalinda Wanyanyasaji

MKUU wa Polisi Wilaya ya Newala (OCD), Jeremiah Shila amesema baadhi ya wanafamilia wilayani hapo wamekuwa kikwazo kwa mapambano dhidi ya vitendo anuai vya kikatili kwa kile kuwalinda watu wanaokabiliwa na kesi hizo. OCD Shila alitoa kauli hiyo hivi karibuni alipokuwa akizungumzia utendaji wa Dawati Maalum la Jinsia na Watoto la Wilaya hiyo dhidi ya vitendo vya unyanyasaji. Mkuu huyo …

Wazazi Kutubagua Watoto wa Kike Kielimu ni Ukatili – Wanafunzi

BAADHI ya wanafunzi wa kike katika Shule ya Msingi Nachitulo Wilayani Newala wamewataka wazazi kuacha tabia ya kuwabagua watoto wa kike kielimu kwani kufanya hivyo ni kumnyanyasa mtoto wa kike kijinsia. Wanafunzi hao walitoa kilio hicho hivi karibuni katika mjadala uliofanyika kwenye shule hiyo uliokuwa ukijadili vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia na uelewa wa vitendo hivyo kwa watoto ili kuweza …