Friends Rangers Kujipima na Ndanda FC ya Mtwara

Mwandishi Wetu KIKOSI cha timu ya Friends Rangers, kesho kinajitupa kwenye Uwanja wa Makurumla, Magomeni Mwembechai, kuvaana na timu ya Ndanda FC ya Mtwara, katika mchezo wa kirafiki wa kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Daraja la Kwanza. Ofisa habari wa timu hiyo Asha Kigundula, alisema kikosi hicho kinashuka dimbani ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mzunguko wa pili …

NSSF Yadhamini Mechi ya Simba na Ndanda FC

Baadhi ya mashabiki wakishhudia mchezo huo. SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mpango wake wa wakulima Scheme imedhamini mechi kati ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam na Timu ya Ndanda FC ya Mtwara. Akizungumzia mchezo huo uliofanyika jana mkoani Mtwara, Meneja Kiongozi, Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume alisema mpango huo umelenga kuwasaidia wakulima …