Mzee Yusuph Azungumzia Filamu Yake Mpya ‘Nitadumu Naye’

  Mzee Yusuph (Kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa filamu yake ya Kwanza iitwayo NITADUMU NAE ambapo filamu hiyo imeingia sokoni leo Jumatatu na inasambazwa na Kampuni ya Proin Promotions Limited, Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampun ya Proin Promotions Limited, Evans Stephen.  Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Kwa Makini Mzee Yusuph wakati …