Mwigulu Aomba Urais, Ataja Vipaumbele, Alibeba Zege…!

Na Joachim Mushi KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi, Mwigulu Lameck Nchemba leo ametangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kupitia chama chake, huku akieleza vipaombele vyake endapo atafanikiwa kupewa ridhaa hiyo na chama na baadaye wananchi kwenye uchaguzi Mkuu Oktoba 2015. Mwigulu ambaye ni Naibu Waziri Wizara ya Fedha alionekana kujenga hoja …

Mwigulu Nchemba Ayapa Changamoto Mabaraza ya Wafanyakazi TIA

Na Aron Msigwa –MAELEZO SERIKALI imeyataka Mabaraza ya wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya juu kote nchini kufanya kazi kwa bidii na kuzingatia weledi, kanuni na sheria zinazosimamia mabaraza hayo ili yawe chachu katika kuleta maendeleo ya Elimu na mabadiliko ya kiuchumi ya taasisi hizo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Fedha (Sera) Mwigulu Nchemba wakati akizindua Baraza la …

Mwigulu Nchemba Kuongoza Tamasha la Upendo wa Mama Dar

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuongoza Tamasha Maalumu la ‘Upendo wa Mama’ linalotarajiwa kufanyika katika Kanisa la Rutheran Mabibo Extenal jijini Dar es Salaam na kushirikisha waimbaji wengi kutoka ndani na nje ya Tanzania. Akizungumzia tamasha hilo leo jijini Dar es Salaam, Rais wa taasisi ya Upendo kwa Mama Foundation yenye makao makuu yake mkoani …