Rais Kikwete Amteua Masaju Kumrithi Werema

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Masaju ulianza Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam. Kabla ya uteuzi wake, Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya …

Kura ya Hapana Bungeni Yamfukuzisha Kazi Mwanasheria Mkuu Zanzibar

HATUA hiyo ya Dk Shein imekuja ikiwa ni wiki moja tangu mwanasheria huyo kukataa ibara 22 za Katiba inayopendekezwa wakati wa Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma. Taarifa iliyotolewa jana na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Dk Abdulhamid Yahya Mzee imesema Rais Shein amempandisha cheo aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu, Said Hassan Said kuwa AG. “Amefanya mabadiliko hayo kwa mamlaka aliyopewa na …