Matarajio Soko la Mali Zisizohamishika kwa Mwaka 2015

Matarajio Soko la Mali Zisizohamishika Mwaka 2015 Nini kinatarajiwa kujitokeza katika soko la mali isiyohamishika katika mwaka mpya MWAKA 2015 inatarajiwa kupungua kwa vikwazo vya kumiliki ardhi nje ya nchi, pia kutakuwa na ongezeko la riba kutoka kwa wawekezaji wa kimataifa pia biashara ya nyumba na makazi kuhamia kidigitali hasa kupitia simu. Godlove Nyagawa, Country manager wa Lamudi Tanzania, alifafanua …