Raia Wafurika Mali Kuona Muujiza Nje ya Ukuta wa Choo

UMATI wa raia umeendelea kufurika eneo moja la Mji Mkuu wa Mali, Bamako ili kujionea kile kilichotajwa kuwa ni muujiza wa kidini kwenye ukuta mmoja ambao umeonekana wiki iliopita. Idadi kuwa ya watu wanaamini picha hiyo nyeupe nje ya ukuta wa choo inamuonesha mtu akisali na kuonekana kama ishara ya ujumbe wa Mungu. Maofisa wa polisi wa kukabiliana na ghasia …