Mke Mume Wauwawa Kikatili, Wachunwa Ngozi Bunda

MBWANA Joseph Maduhu (70) na mkewe Zawadi Maduhu (60) wote waazi wa kutoa Kijiji cha Macharo, Bunda Mkoani Mara, wameuwawa kikatili baada nyumbani kwao baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana na kukatwa katwa mapanga na kunyofolewa sehemu za miili yao. Kwa mujibu wa taarifa ambazo mtandao huu umezipata mke na mume hao walipoteza maisha na miili yao kukutwa ikiwa imetelekezwa …

Wito Kwa Kina Baba Kuondoa Dhana Potofu!

Maisha ya sasa kushirikiana kama picha zinavyoonyesha hapo juu, mke na mume kwakishirikiana kuuza vitumbua. Mke akichoma na mume akiwa anatoa huduma kwa wateja, ambao hujitokeza kwa wingi mida hii ya asubuhi pale maeneo ya “Davis Corner”, Tandika, Manispaa ya Temeke katika kituo cha daladala ziendazo Abiola na Buza kanisani. Kitumbua kimoja huuzwa kwa Tsh 100, na awali kabla ya …