UWT Mufindi Wampigia Magoti Bi. Mkini Kugombea Ubunge

Mwenyekiti wa UWT Mufindi na mjumbe wa NEC Taifa, Bi Marcelina Mkini akiwapongeza  wanawake kwa kumkubali  WAKATI joto  la Uchaguzi  Mkuu likiendelea  kushika kasi ndani ya Chama  Cha Mapinduzi (CCM) kwa  wanachama  wake kujitokeza kutia nia kuwania nafasi ya urais, ubunge na udiwani, umoja  wa wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Mufindi umemuomba Mwenyekiti wa umoja huo Wilaya ya Mufindi, Marcelina …

Vyungu Hivi ni Zaidi ya Utalii Wilayani Mufindi, Iringa

Mmiliki  wa mtandao huu  mzee wa matukiodaima juu akiwa amejitwisha  kichwani  kiatu cha asili  kilichotengenezwa kwa  udongo  ambacho  kinauzwa kati ya Tsh  160,000 kwa  kimoja na  pea moja ni Tsh 320,000 kiatu  hiki ni  moja kati ya  vivutio vya utalii katika  wilaya ya Mufindi  mkoani Iringa vinavyotengenezwa  eneo la Rungemba na kuvutia  watalii  wa ndani na nje Baadhi ya  vifaa …