Mtoto Albino Akatwa Mkono Mbeya, Vilio Vyatawala Hospitalini

  = Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro katikati akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Stellah Manyanya kwenye ofisi ya Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa Mbeya Dk. Mpoki Ulisubisya walipotembelea kwa ajili ya kumjulia hali mtoto Albino aliyelazwa baada ya kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia.   Wakuu wa mikoa Stellah Manyanya(Rukwa) Abbas Kandoro(Mbeya) wakiwa katika hospitali ya Rufaa Mbeya kumjulia hali mtoto …