Tigo Kutumia Bilioni 221 Kupanua Mtandao Wake

 Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Cecile Tiano akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu  mipango ya kampuni hiyo kwa mwaka 2015 ambapo imepanga kuwekeza sh. bilioni 221 katika mtandao wake kwa mwaka 2015. Kulia ni Meneja  Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha.   KAMPUNI ya simu ya Tigo Tanzania imepanga kutumia kiasi …