Tangazo la Msiba wa Bi. Twitikege Mlagha Mafumu

TANGAZO LA  KIFO CHA MAMA MZAZI WA AKINA MWAIBALE  Familia ya  Mwaibale inatangaza kifo cha mama yao mpendwa, Twitikege Mlagha Mafumu kilichotekea jijini Dar es Salaam leo saa 5 usiku wakati akipelekwa  Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu.   Mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa mtoto wake Mwalimu Mary Anyitike, eneo la Bucha Mbagala Kuu …

Tangazo Msiba wa Mathew Sebastian Mgimba

Marehemu Mathew Sebastian Mgimba Enzi za Uhai Wake. 2Timotheo 4:7 Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza Imani nimeilinda Familia ya Ndugu Sebastian Mgimba inasikitika kutangaza kifo cha Mpendwa wao Mathew Sebastian Mgimba kilichotokea Nchini Malaysia tarehe 20/11/2014. Mwili wa Marehemu unatarajiwa kuwasili leo tarehe 25/11/2014 na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao Sinza Kumekucha. Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahala …

Rais Kikwete Atuma Rambirambi Msiba wa Jenerali Herman Lupogo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi na pole nyingi kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange kuomboleza kifo cha Meja Jenerali Herman Cornel Lupogo ambaye aliaga dunia Oktoba 19, 2014, akiwa na umri wa miaka 76 katika Hospitali Kuu ya Jeshi ya Lugalo, Dar es …