ACT Waanza Kumtupia Lawama Msajili wa Vyama vya Siasa

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.  Viongozi wa chama hicho wakiwa meza kuu. Kutoka kushoto Kaimu Katibu wa chama hicho, mkoa wa Dar es Salaam, Peter Katunka, Kaimu Katibu Mkuu, Leopold Mahona, Mwenyekiti, Kadawi Lucas Limbu na Katibu Muenezi Fredy Kisena. Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.  Wanahabari wakichukua taarifa hiyo. Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (kulia) akisisitiza jambo. …