Rais Kikwete Amtumia Rambirambi Rais Mpya wa Mozambique, Nyusi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Rais mpya wa Mozambique, Filipe Jacinto Nyusi salamu za rambirambi kuomboleza vifo vya watu 79 waliopoteza maisha yao kutokana na kunywa pombe yenye sumu. Aidha, Rais Kikwete amewatakia watu wengine 174 ambao wamepata madhara ya viwango mbali mbali katika tukio hilo, baadhi yao bado wamelazwa hospitali, kupata nafuu ya …