Moto Uliozuka Hospitalini Wauwa Wagonjwa 21

WAGONJWA wapatao 20 pamoja na muuguzi wameuawawa baada ya moto mkubwa kuibuka hospitalini katika Jimbo la Janseong nchini Korea Kusini. Moto huo pia umewaacha wagonjwa wengine 6 wakiwa mahututi baada ya moto huo katika hospitali ya Hyosarang iliyoko kilomita 300 kusini mwa Seoul. Wengi waliofariki dunia kwa ajali hiyo ya moto ni wagonjwa wazee wenye umri kati ya miaka 70 …